Serengeti Fiesta September 7 2014 Musoma, show ambayo ilifanywa maalum baada ya maamuzi kufikiwa ili upendo usambazwe kwa wote waliofiwa na waliojeruhiwa kwenye ajali ya Mabasi iliyoua 39 Musoma September 5 2014.Show ilikua ifanyike Ijumaa lakini iliahirishwa siku hiyohiyo baada ya ajali kutokea na ilikua isifanyike moja kwa moja, Jumamosi watu ikiwa ni pamoja na Wasanii wakiwa wamejiandaa na safari, stage kianza kuondolewa ili kusafirishwa…. likaja wazo kwamba inaweza kufanyika show ya Fiesta lakini ikawa maalum kwa ajili ya ajali ya Ijumaa.
Sunday, September 7, 2014
Saturday, August 16, 2014
TAZAMA PICHA 15 ZA SHOW YA FIESTA BUKOBA,NI NOMAAA WAHAYA WARUKA RUKAAAAA



Friday, May 2, 2014
Wednesday, April 30, 2014
SHILOLE KUFUNGUA RASMI UKUMBI WA (THE CLUB HOUSE)
KAUNTA INAENDELEA KUPANGWA VITU
BAADHI YA SEHEMU ZA KUTULIA
NURMAK KWA AJILI YA KAZI MOJA YA BURUDANI
Dj ABUU FRESH Jr WA THE CLUB HOUSE AAHIDI VITU VIPYA KWA WAKAZI WA MUSOMA
MWANAMUZIKI ANAYEKUJA KWA KASI HAPA NCHINI SHILOLE "SHISH BEBY KESHO ANATARAJIWA KUTOA BURUDANI YA AINA YAKE KWA WAKAZI WA MJI WA MUSOMA IKIWA NI UZINDUZI RASMI WA UKUMBI WA KISASA WA THE CLUB HOUSE BAADA YA KUFANYIWA UKARABATI WA NGUVU.
AKIZUNGUMZA NA BLOG NDANI YA UKUMBI HUO,DJ MKUU WA CLUB HIYO ABUBAKAR NYAMAKATO DJ ABUU FRSH Jr AMESEMA MAANDALIZI YOTE YAMEKWENDA VIZURI KILICHOBAKI NI WAKAZI WA MUSOMA KUPATA BURUDANI YA AINA YAKE.
AMESEMA SHILOLE AKIWA NA KUNDI LAKE ZIMA LA WACHEZA SHOW AMEIPANIA SHOW HIYO KWA KUFANYA VIZURI ILI KUJENGA JINA ZURI KWA MASHABIKI WAKE AMBAO KWA KIASI KIKUBWA WAMETOKEA KUMUUNGA MKONO.
Dj ABUU AMESEMA KIINGILIO KWENYE SHOW HIYO YA AINA YAKE ILIYODHAMINIWA NA WADAU MBALIMBALI WA BURUDANI IKIWEMO BROG HII KITAKUWA SHILINGI 7000 HUKU SHOW IKITARAJIWA KUANZA MAPEMA SAA 2 USIKU NA KUOMBA WAPENZI WA BURUDANI KUJITOKEZA KWA WINGI.
Tuesday, April 29, 2014
FURSA: MAFUNZO YA KUPIGA ALA ZA MUZIKI KUANZA TENA MWEZI MEI
Baadhi ya wanafunzi wakiwa kwenye mazoezi
Action Music Tanzania (AMTz) inatangaza fursa kwa watu wote kujiunga na mafunzo ya kupiga ala za muziki yanayoanza tarehe 3/5/2014, lengo likiwa ni kuwajengea uwezo wanamuziki wa kupiga ala na kufanya maonesho kwa weledi na utaalamu zaidi.
Baadhi ya wanafunzi wakiwa darasani
Mafunzo yanayotolewa ni pamoja na upigaji wa ala za muziki zikiwemo gita, kinanda, tarumbeta, saxophone, konga, drum set, na upigaji wa ngoma za asili. Pia yatatolewa mafunzo ya ‘body percussion’ yaani matumizi ya mwili katika kutengeneza midundo ya muziki.
Mafunzo hayo yanafanyika kwenye ofisi za AMTZ zilizopo maeneo ya Mwenge mtaa wa Umoja, nyuma ya magorofa ya jeshi na kwenye Idara ya Sanaa na Sanaa za Maonesho Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambapo ili kujiunga na mafunzo haya wasiliana nao kwa simu namba 0686928828/0653075791 ili kupata fomu za kujiunga na mafunzo.
Wednesday, April 23, 2014
AMWAGA RADHI SHOW YA FM ACADEMIA MUSOMA JIONEE HAPA
MASHABIKI WA BURUDANI MUSOMA WAKIFATILIA SHOW YA FM ACADEMIA USIKU WA JANA BWALO LA MAGEREZA MUSOMA
KAZI ILIANZA KIUNO MAUNO
ALI NYOGA MAUNO KATIKA!.
MCHAKAMCHAKA
AMKA TUCHEZE WW
FULL NGWASUMA
NYOSHI AKIMCHEZESHA MNENGUAJI WAKE
MKUBWA ABASI CHAMBA AKIWA NA NYOSHI EL SADAT
JAMAA ALIWEKA GONGO LAKE PEMBENI IKAPINGWA NGWASUMA!
Tuesday, April 15, 2014
KAPOTIVE STAR SINGERS-BUKOBA KUFANYA TAMASHA LA PASAKA LINA'S CLUB, PASAKA PILI NI KATIKA MJI WA BIHARAMULO

Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na SDA za hapa Bukoba.
Kiingilio kitakuwa kama ifuatavyo:Mtu mmoja 10,000/-
Watu watatu 25,000/-, Watoto 5,000/-

Friday, February 28, 2014
MAKOMANDOO,WAZEE WA KIBABA BABA KUPAGAWAISHA BWALO LA POLISI MUSOMA KESHO



Akizungumza na shommi Blog,muandaaji wa show ambaye pia ni mkurugenzi wa Kayombo Intertainment,Docta Kayombo amesema kwa sasa tayari wasanii hao wameshawasili mjini Musoma tayari kwa kuanza kutoa burudani kwa wakazi wa maeneo hayo.
Kayombo amesema kama ambayo aliwaahidi wakazi wa Musoma na maeneo mengine ya mkoa wa Mara katika show ya usiku wa valentine day ni kuhakikisha wapenzi wa burudani wanapata burudani kila mwishoni mwa wiki baada ya shughuli za kazi.
Amesema show ya kwanza kundio hilo la makomandoo ambalo litasindikizwa na wasanii wengine wakali wa mkoa wa Mara jumamosi ya tarehe 22 watafanya show ya kwanza kwenye ukumbi wa JJ mjini Tarime kabla ya jumapili kufanya show mjini Musoma kwenye ukumbi wa bwalo la polisi klabla ya kumalizia show mjini Shirati jumatatu.
Kayombo amesema baada ya show hiyo ya makomandoo wakazi wa Musoma na maeneo mengine ya mkoa wa Mara watarajie show za wasanii wengine wakali ambao kila wakati watakuwa wakija kutoa burudani kama ilivyo kwenye maeneo mengine.
Subscribe to:
Posts (Atom)